iqna

IQNA

Ayatullah Ibrahimi Amini
TEHRAN (IQNA)- Ayatullah Sayyed Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kuaga dunia mwanazuoni mujahidi na mwanamapinduzi marhum Ayatullah Ibrahimi Amini ambaye pia alikuwa mwanachama wa Baraza la Wanazuoni Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu.
Habari ID: 3472702    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/25

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)- Ayatullah Ibrahimi Amini mwanazuoni maarufu, mwakilishi wa watu wa Tehran katika Baraza la Wanazuoni Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu na mwanachama wa Baraza la Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu Iran ameaga dunia na kurejea kwa Mola wake baada ya kuugua kwa muda.
Habari ID: 3472700    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/25